Upakizi wa mizigo kupita kiasi na uwezo wa gari husika huwa kero pale gari hiyo inapoharibika katikati ya barabara na husababisha msongamano wa magari katike eneo husika. kama inavyoonekana pichani gari hizi zikiwa na mzingo na gari yenye mkaa ikiwa imeharibika na kusimama katikati ya barabara ya muembeladu.
DKT.SWARE SEMESI- NEMC ASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO W KIDIGITALI NCHINI GHANA
-
NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa
mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga
kurahisis...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment