Upakizi wa mizigo kupita kiasi na uwezo wa gari husika huwa kero pale gari hiyo inapoharibika katikati ya barabara na husababisha msongamano wa magari katike eneo husika. kama inavyoonekana pichani gari hizi zikiwa na mzingo na gari yenye mkaa ikiwa imeharibika na kusimama katikati ya barabara ya muembeladu.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment