Upakizi wa mizigo kupita kiasi na uwezo wa gari husika huwa kero pale gari hiyo inapoharibika katikati ya barabara na husababisha msongamano wa magari katike eneo husika. kama inavyoonekana pichani gari hizi zikiwa na mzingo na gari yenye mkaa ikiwa imeharibika na kusimama katikati ya barabara ya muembeladu.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment