Habari za Punde

Bodi ya Mapato Zanzibar ZRB Yatoa Elimu ya Walipa Kodi Kwa Wafanyabiasha Kisiwani Pemba leo.

Meneja Sera, Utafiti, na Mipango kutoka ZRB Zanzibar  Ahmed Saadat, akifafanua jambo kwenye semina kwa wafanyabishara, juu ya kuelezwa mabadiliko ya sheria mbali mbali za kodi mafunzo hayo, yalifanyika mjini Chakechake hivi karibuni
Afisa Mwandamizi wa ZRB elimu kwa walipa kodi kutoka ZRB Zanzibara, Shaaban Yahya Ramadhan, akiwaeleza wafanyabiashara juu ya muamala wa kupitia simu ya mkononi kulipa kodi zao, kwenye semina iliofanyika hivi karibuni mjini Chakechake, kisiwani Pemba
Afisa Mwandamizi wa ZRB elimu kwa walipa kodi kutoka ZRB Zanzibara, Shaaban Yahya Ramadhan, akiwaeleza wafanyabiashara juu ya muamala wa kupitia simu ya mkononi kulipa kodi zao, kwenye semina iliofanyika hivi karibuni mjini Chakechake, kisiwani Pemba
Mfanyabiashara wa mjini wa Chakechake Rashid Nassor Mohamed, ‘manyimbo’, akiuliza suali kwenye semina ya wafanyabiashara, juu ya mabadiliko ya sheria mbali mbali za kodi, kwenye semina iliofanyika hivi karibuni kisiwani Pemba
Wafanyabiashara kisiwani Pemba wa wilaya ya Chakechake kisiwani Pemba, wakifuatilia semina ya siku moja, juu ya kuelezwa mabadiliko ya sheria mbali mbali za kodi, semina hiyo, ilioandaliwa na Bodi ya Mapato Zanzibar ‘ZRB’ na kufanyika mjini Chakechake hivi karibuni, 
(Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.