Na Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.
Timu ya Miembeni City leo imekaribishwa kwenye ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja baada ya kuchapwa bao 1-0 na Polisi mchezo uliochezwa saa 10 za jioni kwenye uwanja wa Amaan.
Bao pekee la Polisi lililopeleka msiba kwa City limefungwa na Abdallah Omar dakika ya 90 ya mchezo huo.
Ligi hiyo itaendelea tena leo saa 1:00 za usiku kati ya Taifa ya Jang’ombe dhidi ya Zimamoto.
No comments:
Post a Comment