Habari za Punde

Uzinduzi wa Meli ya Utafiti na Utafutaji wa Mafuta na Gas Asilia Zanzibar leo Zanzibar.

Meli ya Kampuni ya Utafiti na Utafutaji wa Mafuta na Gas Asilia Zanzibar ikiwa katika bandari ya Zanzibar wakati wa uzinduzi wa Meli hiyo kuaza zoezi la Utafutaji wa Mafuta na Gas Asilia katika Visiwa vya Unguja na Pemba, Utafiti huo unafanywa na Kampuni ya Kichina BGP Explorer.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindyua Meli ya Utafiti wa Mafuta na Gas Asilia Zanzibar na Kampuni ya BGP Explorer  kutoka Nchini China uzinduzi huo umefanyika katika bandari ya malindi Zanzibar leo.kulia Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Mazingira Mhe. Salama Aboud Talib  na Mwakilishi wa Kampun BGP Explorer Gou Yunhui na kushoto Mwakalishi wa Kampuni ya Rakgas Osama Abdilali 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.