Mfanyabiashara ya magazeti kisiwani Zanzibar Abel akiwa katika kituo chake cha kuuzia magazeti eneo la darajani akiwa katika kazi yake hiyo, kwa mujibu wa maelezo yake kazi hii ameiaza tangu ya wakati kulikuwa na magazeti ya uhuru, hadi sasa anaendelea na biashara hiyo na inampatia tija
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment