Mfanyabiashara ya magazeti kisiwani Zanzibar Abel akiwa katika kituo chake cha kuuzia magazeti eneo la darajani akiwa katika kazi yake hiyo, kwa mujibu wa maelezo yake kazi hii ameiaza tangu ya wakati kulikuwa na magazeti ya uhuru, hadi sasa anaendelea na biashara hiyo na inampatia tija
CHUO KIKUU MZUMBE KUIBUA VIPAJI VYA UBUNIFU KWA VIJANA
-
Farida Mangube, Morogoro
Katika juhudi za kupambana na changamoto ya ajira kwa vijana na kuhamasisha
maendeleo ya kiuchumi nchini, Chuo Kikuu Mzumbe kimean...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment