Mfanyabiashara ya magazeti kisiwani Zanzibar Abel akiwa katika kituo chake cha kuuzia magazeti eneo la darajani akiwa katika kazi yake hiyo, kwa mujibu wa maelezo yake kazi hii ameiaza tangu ya wakati kulikuwa na magazeti ya uhuru, hadi sasa anaendelea na biashara hiyo na inampatia tija
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment