Mfanyabiashara ya magazeti kisiwani Zanzibar Abel akiwa katika kituo chake cha kuuzia magazeti eneo la darajani akiwa katika kazi yake hiyo, kwa mujibu wa maelezo yake kazi hii ameiaza tangu ya wakati kulikuwa na magazeti ya uhuru, hadi sasa anaendelea na biashara hiyo na inampatia tija
RAIS DKT SAMIA MGENI RASMI SHEREHE ZA MAADHIMISHO MIAKA 50 YA UHURU NCHINI
COMORO
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro alipowasili kwenye
Uwanja...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment