Habari za Punde

Kamati BLW yaikagua ujenzi wa jengo litakalokuwa na Wizara tatu Gombani Pemba

 AFISA Mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba,Ibrahim Saleh Juma akitoa maelezo ya ujenzi wa jengo la Wizara tatu huko Gombani, kwa Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi, wakati walipotembelea kuangalia ujenzi wa jengo hilo lilipofikia.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MSIMAMIZI wa Ujenzi wa jengo la Gorofa tatu linaloendelea kujengwa Gombani, Mbarouk Juma Mbarouk akitoa ufafanuzi kwa Makamu Menyekiti wa kamati ya Fedha Biashara na Kilimo ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati ilipotembelea jengo hilo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 WAJUMBE wa kamati ya Fedha biashara na Kilimo ya baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakirudia kukagua ujenzi wa jengo la Wizara tatu linalojengwa Gombani Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU mwenyekiti wa kamati ya Fedha Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi Zanzibar, Hamida Abdalla Issa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kamati yake kutembelea na kuangalia ujenzi wa jengo la Gorofa Tatu linalojengwa Gombani Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.