Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazaa la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Shirika la kuwahudumia Wazee Duniani "Help Age International" Bw.Arun Maura alipoongoza ujumbe aliofuatana nao ulipofika Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 01/11/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazaa la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Ujumbe wa Shirika la kuwahudumia Wazee Duniani "Help Age International" ulioongozwa na Mwenyekiti Bw.Arun Maura (wa pili kulia) wakati ulipofika Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 01/11/2017.
No comments:
Post a Comment