Habari za Punde

Ufungaji wa Mafunzo ya Udhibiti Usambaaji wa Mafuta Baharini Wafanyika Zanzibar.

Naibu Katibu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Shomari O,Shomari kulia akitoa hotuba ya ufunguaji wa  mafunzo ya  Udhibiti  Usambaaji wa mafuta yaliomwagika Baharini yaliochukua muda wa siku Tatu hafla iliofanyika  Hoteli ya Marumaru Forodhani mjini Unguja.
Naibu Katibu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Shomari O,Shomari kulia akimkabidhi cheti cha Ushiriki wa mafunzo ya Udhibiti  Usambaaji wa mafuta yaliomwagika Baharini Injinia Mratibu wa maswala ya Mazingira Baharini kutoka ZMA Halfani Hamad Hassan katika ufungaji wa mafunzo hayo katika Hoteli ya Marumaru Forodhani mjini Unguja.
Eng.Mratibu wa maswala ya Mazingira Baharini kutoka ZMA Halfani Hamad Hassan kulia akitoa maelezo kuhusiana na zoezi la vitendo la Udhibiti wa Usambaaji wa mafuta yaliomwagika Baharini katika Mkutano wa kufunga mafunzo hayo uliofanyika Hoteli ya Marumaru Forodhani mjini Unguja.
Mkuu wa Kituo cha Huduma za Dharura Norwey Helge Munkas Andersen akijibu baadhi ya maswala yalioulizwa katika Mkutano wa  Ufungaji  mafunzo ya  Udhibiti  Usambaaji wa mafuta yaliomwagika Baharini  uliofanyika Hoteli ya Marumaru Forodhi mjini Unguja.
Mkuu wa Kituo cha Huduma za Dharura Norwey Helge Munkas Andersen kushoto akionesha namna ya zoezi zima la mafunzo ya  Udhibiti  Usambaaji wa mafuta yaliomwagika Baharini katika Mkutano wa kufunga mafunzo hayo uliofanyika Hoteli ya Marumaru Forodhani mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.