AFISA Mdhamini
wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Pemba, Sihaba Haji Vuai,
akimueleza jambo Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa rais Zanzibar Mhe:
Mohamed Aboud Mohamed, wakati waziri huyo, alipolitembelea shamba la serikali
la Makuwe, ikiwa ni sehemu ya ziara yake kisiwani Pemba
WAZIRI wa
nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud Mohamed,
akielezea namna bora ya kuliimarisha shamba la serikali la Makuwe, wakati
waziri huyo alipotembelea shamba hilo
MKUU wa
Idara ya Misitu Pemba Said Juma Ali, akizungumza na waziri wa nchi Afisi ya
Makamu wa Pili wa rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud Mohamed, wakati waziri huyo
alipolitembelea shamba la serikali la Makuwe, ikiwa ni sehemu ya ziara yake
kisiwani Pemba
MASANDUKU maalum ya kutegea nyuki yanayomilikiwa na wizara
ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Pemba, yaliopo kwenye shamba la serikali
la mikarafuu la Makuwe, ambapo shamba hilo kwa sasa linatarajiwa kupandwa upya
baadhi ya miti ikiwemo mikarafuu
WAZIRI wa
Nchi Afisi ya Makamu wa pili wa rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud Mohamed akitembelea
sehemu mbali mbali za shamba la serikali la Makuwe, ikiwa ni sehemu ya zaira
yake kisiwani Pemba
WAZIRI wa Nchi Afisi ya Makamu wa pili wa
rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud Mohamed akitembelea sehemu mbali mbali za
shamba la serikali la Makuwe, ikiwa ni sehemu ya zaira yake kisiwani Pemba (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment