MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kupokelewa na
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mhita alipowasili katika ukumbi wa Chuo cha
Mipango Dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri Mkuu wa
Tanzania Kassim Majaliwa alipowasili katika viwanja vya Chuo cha Mipango Dodoma
kufunga Mkutano Mkuu wa UVCCM
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim
Majaliwa na Katibu Mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana wakiingia katika ukumbi wa
mkutano wa Tisa wa UVCCM. ukumbi wa chuo cha mipando dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim
Majaliwa na Katibu Mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana wakiingia katika ukumbi wa
mkutano wa Tisa wa UVCCM. ukumbi wa chuo cha mipando dodoma
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa UVCCM wakati wamesimama wakimpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein akiingia katika ukumbi wa Mkutano
MSIMAMIZI wa Uchaguzi Mkuu wa UVCCM Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM William Lukuvi akitangaza matokeo ya uchaguzi kwa wajumbe wa mkutano Mkuu wa Tisa wa
UVCCM katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma
MSHINDI wa Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Tabia Maulid Mwita
akishindikizwa na wapambe wake baada ya kutangazwa rasmin msindi wa nafasi hiyo
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UVCCM wakishangilia wakati wa matokeo ya
Uchaguzi wa nafasi za Mwenyekiti na Makamu wake katika ukumbi wa Chuo cha
Mipango Dodoma
Mwenyekiti wa UVCCM Kheri Denice James baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano.kuongoza UVCCM.
MSHINDI wa Nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Kheri Denice James akiwa
amebeba juu baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo na msimamizi wa Uchaguzi
Mkuu William Lukuvu
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UVCCM wakishangilia wakati wa matokeo ya
Uchaguzi wa nafasi za Mwenyekiti na Makamu wake katika ukumbi wa Chuo cha
Mipango Dodoma
WASHINDI wa Nafasi za Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Kheri
Denice na Tabia Maulid Mwita wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutangazwa
washindi
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimpongeza Mwenyekiti wa UVCCM kwa ushindi wa nafasi hiyo baada ya kutangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM William Lukuvi,
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, na Katibu Mkuu wa CCM Abdurahaman Kinana wakimpongeza mshindi wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Tabia Maulid Mwita.
KAIMU Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka akimpongeza Mwenyekiti wa
UVCCM Kheri Denice James baada ya kutangazwa na kuwa mshindi wa nafasi hiyo
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu waUVCCM wakishangilia wakati wa kutangazwa
matokeo ya uchaguzi
MWENYEKITI wa UVCCM Kheri Denice James akihutubia na kutowa shukrani kwa
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa UVCCM baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi
hiyo kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu wa jumuiya hiyo uliofanyika katika
ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma
MWENYEKITI wa UVCCM Kheri Denice James akihutubia na kutowa shukrani kwa
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa UVCCM baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi
hiyo kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu wa jumuiya hiyo uliofanyika katika
ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma
MWENYEKITI wa UVCCM Kheri Denice James akimkabidhi picha Makamu
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa ufungaji wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa
UVCCM katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodma akiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa
UVCCM Shaka Hamdu Shaka
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akifurahia picha
yenu sura yake baada ya kukabidhiwa na Mwenyekiti wa UVCCM Kheri Denice James,
kulia Katibu Mkuu wa CCM Abdurahaman Kinana
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa tISA WA UVCCM katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Chuo
cha Mipango Dodoma wakati akifunga mkutano huo na kutowa nasaha zake kwa
Viongozi waliochaguliwa
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UVCCM wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Dk Shein akifunga mkutano huo baada ya kumalizika shughuli za uchaguzi
uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma
WAGENI Waalikwa waliowahi kuwa Viongozi wa nafasi
mbalimbali katika UVCCM wakifuatilia mkutano huo wakati wa ufungaji wake
uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mipango
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UVCCM wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Dk Shein akifunga mkutano huo baada ya kumalizika shughuli za uchaguzi
uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa na Mwenyekiti wa UVCCM wakitoka katika ukumbi wa mkutano baada
ya kufungwa na kuwapungia mikono Wajumbe wa Mkutano huo
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akiagana na
Viongozi wapya wa UVCCM Makamu Mwenyekiti UVCCM Tabia Maulid na katikati
Mwenyekiti wa UVCCM Kheri Denice James wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano
No comments:
Post a Comment