Habari za Punde

Balozi Seif apokea Matembezi ya Vijana 1,000 wa Umoja wa Vijana {UVCCM}

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akiyapokea Matembezi ya Vijana 1,000 wa Umoja wa Vijana {UVCCM} walioanzia Mwera kuadhimisha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964 hapo Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akiyapokea Matembezi ya Vijana 1,000 wa Umoja wa Vijana {UVCCM} walioanzia Mwera kuadhimisha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964 hapo Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.
  Balozi Seif akipokea Picha ya Muasisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1994 Marehemu Mzee Abeid Aman Karume kutoka kwa Mkuu wa Matembezi ya Umoja wa Vijana ambae pia ni Mjumbe wa NEC Nd. Asya Khamis.
Balozi Seif akizungumza  Vijana walioshiriki katika matembezi ya kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar hapo katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.
  Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Nd. Kheir James akitoa salamu katika kilele cha Matembezi ya UVCCM kilichomalizikia Afisi Kuu ya CCM Kisiwanduzi.
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi wakifuatilia matukio mbali mbali yaliyojiri katika kilele cha Matembezi ya kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar .
Picha na – OMPR – OMPR – ZNZ.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.