Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya
Al Rawabi Abdalla Eleweis alipowasili
katika viwanja vya Shamba la kufugia Ngombe na Kiwanda cha Maziwa cha Kampuni
hiyo wakati wa ziara yake katika Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu
(UAE)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa Kiwanda cha Maziwa
na Shamba la Ngombe Sharjah akitambulishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda hicho
cha Al Rawabi, Abdalla Eleweis.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akipata maelezo ya moja ya bidhaa
zinazozalishwa na Kiwanda cha Maziwa cha Al Rawabi Sharjah na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Abdalla
Eleweis. Moja ya bidha aina ya juice ya matunda inayotengenezwa na kiwanda
hicho
MKURUGENZI Mkuu wa Kiwanda cha Maziwa cha Al Rawabi
Abdallah Eleweis akitowa maelezo ya kiwanda chake na bidhaa zinazozalishwa
katika kiwanda hicho wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake katika Nchi
za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu (UAE)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Mama Mwanamwema Shein, Mkurugenzi Mkuu wa
Kiwanda cha Maziwa cha Al Rawabi Sharjah, Abdallah Eleweis na Balozi Mdogo wa
Tanzania katika Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu anayefanyia kazi
Dubai,Ali Jabir Mwadini, wakifuatilia maelezo ya kitaalamu ya ufungaji wa
Ngombe wa maziwa yakitolewa na Meneja Mkuu wa kiwanda cha maziwa cha Al Rawabi
Sharjah
MENEJA Mkuu wa Shamba la Ngombe Dr. Ahmed Eltigani
A.Rahim Al Mansour akitowa maelezo ya kitaalamu ya ufungaji wa ngombe wa maziwa
wanaofungwa na kampuni ya Al Rawabi Sharjah kwa ajili ya uzalishaji wa maziwa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Mama Mwanamwema Shein na viongozi wengine
wakifuatilia maelezo ya kitaalamu yakitolewa na Meneja Mkuu wa Kiwanda cha
Maziwa cha Al Rawabi Sharjah Dr. Ahmed Altigani akiwasilisha ufungaji bora wa
Ngombe wa maziwa
WAZIRI wa Ardhi Maji Nishati na Mazingira Zanzibar Mhe.
Salama Aboud Talib akiuliza swali kuhusiana na utaalamu wa ufugaji bora wa
ngombe wa maziwa wakati wa hafla hiyo katika kiwanda cha maziwa cha Al Rawabi
Sharjah.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Dk. Khalid
Salum Mohammed alipata fursa ya kuuliza swali wakati wa kuwasilisha ufungaji
bora wa ngombe wa maziwa wanaofungwa na Kiwanda cha maziwa Al Rawabi Sharjah
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa zawadi na Mkurugenzi Mkuu wa
Kiwanda cha Maziwa cha Al Rawabi Sharjah Abdallah Eleweis,baada ya hafla hiyo ya
kutembelea kiwanda hicho
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Senior Vice President – Commercial Services
Atiq Juma Faraj Nasib, baada ya hafla hiyo ya kutembelea kiwanda cha maziwa
BAADHI ya ngombe wa maziwa wkiwa katika sehemu yao
kwa ajili ya ukamuaji wa kwa kutumia mashine maalumu, zinazotumika kwa ukamuaji
wa maziwa katika kiwanda hicho hicho cha Al Rawabi Sharjah
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa kiwanda cha
Maziwa cha Al Rawabi Sharjah Abdallah Eleweis, akitowa maelezo kwa Rais
walipotembelea mabanda ya ngombe wa kisasa huzaliwa lita 60 kwa ngombe mmoja.
Akiwa katika ziara yake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa kiwanda cha
Maziwa cha Al Rawabi Sharjah Abdallah Eleweis, akitowa maelezo kwa Rais
walipotembelea mabanda ya ngombe wa kisasa huzaliwa lita 60 kwa ngombe mmoja.
Akiwa katika ziara yake.
BAADHI ya Ngombe wa kisasa wa maziwa wakiwa katika
maeneo yao ya malisho katika kiwanda cha maziwa cha Al Rawabi Sharjah.
No comments:
Post a Comment