Viongozi wa Wizara ya Kilimo Mifugo Maliasili na Uvuvi wkiwa katika eneo la Soko Kuu la Tibirinzi Chakechake wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Soko hilo uliofanya na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Uzinduzi wa Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika Visiwa vya Unguja Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Haji Omar Kheri , alipowasili katika viwanja vya Soko hilo kwa ajili ya Uzinduzi wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe. Hamad Rashid Mohammed na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheri wakiondoa kipazia kuashiria uwekaji wa Jiwe la Msingi la Soko la Tibirinzi Chakechake Pemba ikiwa katika shamrashamra za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa uzinduzi wa miradi mbalimbali katika Visiwa vya Unguja na Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Soko Jipya la Mbogamboga na Samaki katika eneo la Chakechake akipata maelezo kwa Mtoto aliyeandalia kwa ajili ya kumkabidhi mkasi kwa ukataji wa utepe huo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Soko Jipya la Mbogamboga na Samaki katika eneo la Chakechake Pemba ikiwa ni shamrashamra za Sherehe za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa uzinduzi wa miradi mbalimbali ya Maendeleo iliozinduliwa Zanzibar.
MKADARASI
wa Ujenzi wa Soko hilo kutoka Kampuni ya ZECCON Ali Mbarouk akitowa maelezo ya
ujenzi wa Soko hilo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein, alipokuwa akitembelea katika soko hilo baada ya
kulizindua rasmin katika sherehe za shamrashamra za Miaka 54 ya Mapinduzi ya
Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza wakati akitembelea maeneo ya Soko hilo katika chumba maalum cha
kuhifadhia Samaki, nyama na vyakula
vyengine katika Soko hilo
KATIBU
Mkuu Wizara ya Kilimo Mifogo Maliasili na Uvuvi Joseph Abdalla Meza akitowa
taarifa ya kitaalamu ya Ujenzi wa Soko Jipya la Tibirinzi Chakechake Pemba
wakati wa hafla ya uzinduzi wake uliofanya na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ikiwa ni shamrashamra za Sherehe za
Miaka 54 ya Mapinduzi wa Zanzibar
WAZIRI
wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed
akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed
Shein, kuzungumza na wananchi wa kisiwani Pemba wakati wa hafla ya Uzinduzi wa
Soko la Tibirinzi Chakechake Pemba
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwahutubia Wananchi wa Chakechake wakati wa hafla ya uzinduzi wa Soko Jipya
la Chakechake Pemba, ikiwa ni sherehe za shamrashamra za maadhimishi ya miaka
54 ya Mapinduzi ya Zanzibar
WANANCHI
wa Kisiwani Pemba wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Soko
Jipya la Tibirini Chakechake ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha
miakav 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
WANANCHI
wa Kisiwani Pemba wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Soko
Jipya la Tibirini Chakechake ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha
miakav 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
WANANCHI
wa Kisiwani Pemba wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Soko
Jipya la Tibirini Chakechake ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha
miakav 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
No comments:
Post a Comment