RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waheshimia Majaji wa Mahakama
Kuu Zanzibar wakati akiwasili katika viwanja vya zamani vya Baraza la
Wawakilishi kikwajuni Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Waheshimia Majaji wa Mahakama
Kuu Zanzibar wakati akiwasili katika viwanja vya zamani vya Baraza la
Wawakilishi kikwajuni Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed
Shein, akiwa na Waheshimiwa wa meza kuu wakisamama wakati ukipigwa wimbo wa
Taifa wakati wa hafla hiyo ya Siku ya Sheria Zanzibar iliofanyika katika ukumbi
wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, akihutubia wakati wa Hafla ya Siku ya Sheria Zanzibar maadhimisho hayo
yamefanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, akihutubia wakati wa Hafla ya Siku ya Sheria Zanzibar maadhimisho hayo
yamefanyika katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi kikwajuni Zanzibar
No comments:
Post a Comment