Wachuuzi wa Samaki kutoka sehemu mbalimbali wakiwa katika Mnada wa Samaki katika Soko Kuu la Darajani Unguja, bidhaa hiyo ikiwa katika mnada huo mtungo mmoja ulionadishwa na kufikia shilingi 70, inategemea na aina ya samaki.
DK.SAMIA ASISITIZA UCHAGUZI KUFANYIKA KWA AMANI NA UTULIVU, WANANCHI
WAJITOKEZE KUPIGA KURA OKTOBA 29
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia
Suluhu Hassan, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa win...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment