KAIMU
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali pia ni Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya
Kale Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akifungua Juma la Mamlaka ya Mafunzo ya Amali
Zanzibar yaliofanyika katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi
michezani
MWANAFUNZI
wa Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja Fumu Khamis , akitowa maelezo ya Ufundi wa
umeme wa magari kwa wananchi waliofika kuangalia maonesho hayo katika viwanja
vya Mnara wa kumbukumbu michezani
MWANAFUNZI
wa Skuli ya Amali Kituo cha Mwanakwerekwe
Unguja akiwa katika maonesho ya kuadhimisha Siku ya Mamlaka ya Mafunzo
ya Amali yanayofanyika katika viwanja vya michezani mnara wa kumbukumbu ya
Mapinduz
BAADHI
ya bidhaa zinazozalishwa na Wanafunzi wa Vyuo vya Amali Zanzibar zikiwa katika maonesho ya Juma la Mamlaka ya
Mafunzo ya Amali yanayofanyika katika viwanja vya Mnara wa kumbukumbu ya
Mapinduzi michezani
No comments:
Post a Comment