MKURUGENZI
Masoko na Huduma kwa Wateja Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Said Ali Mwinyigogo,
(kushoto) akimkabidhi msaada wa Vitanda vine kwa ajili ya Hospitali ya Wazazi
Muembeladu Unguja, chumba cha kujifungulia wajawaziti, ikiwa ni shamra shamra
za kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, akipokea msaada huo. Kaimu Mkurugenzi
wa Mtendaji wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar Dr. Msafiri Marijani , hafla
hiyo imefanyika katika viwanja vya hospitali hiyo
MKURUGENZI
Masoko na Huduma kwa Wateja Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Said Ali Mwinyigogo,
(kushoto) akimkabidhi msaada wa Vitanda vine kwa ajili ya Hospitali ya Wazazi
Muembeladu Unguja, chumba cha kujifungulia wajawaziti, ikiwa ni shamra shamra
za kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, akipokea msaada huo. Kaimu Mkurugenzi
wa Mtendaji wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar Dr. Msafiri Marijani , hafla
hiyo imefanyika katika viwanja vya hospitali hiyo
Mkurugenzi Masoko na Huduma kwa Wateja Benki ya Watu wa Zanzibar Said Ali Mwinyigogo na Kaimu Mkurugenzi wa Mtendaji wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar Dr. Msafiri Marijani na Wafanyakazi wa Hospitali ya Wazazi Muembeladu wakiwa katika picha ya pamoja baada ya hafla ya kukabidhi Vitanda vya kuzalia Kinamama katika hospitali hiyo.
No comments:
Post a Comment