Habari za Punde

Upandaji wa miti wa Mikandaa, ikiwa ni maadhimisho ya siku ya Misitu duniani, Magongoni Gando kisiwani Pemba

 SHEHA wa Shehia ya Gando Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, Ali Abdalla Faki akizungumza na wanakikundi cha uhifadhi mazingira, katika bonde la Magongoni Gando mara baada ya kumalizika kazi ya upandaji wa miti wa Mikandaa, ikiwa ni maadhimisho ya siku ya Misitu duniani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, 
 WANAKIKUNDI CHA Uhifadhi wa mazingira kwa kushirikiana na jumuiya ya CFP Pemba, wakipanda miti ya mikoko zaidi ya 17,770 katika bonde la Magogoni katika madhimisho ya siku ya Misitu Duniani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WANAKIKUNDI CHA Uhifadhi wa mazingira kwa kushirikiana na jumuiya ya CFP Pemba, wakipanda miti ya mikoko zaidi ya 17,770 katika bonde la Magogoni katika madhimisho ya siku ya Misitu Duniani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.