Habari za Punde

Mafunzo juu ya Udhalilishaji, Ukatili wa kijinsia na Ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu

 MKALIMANI wa Lugha za Alama Kisiwani Pemba, Asha Issa Mohamed, akiwatafsiriwa watu wenye ulemavu wa usikivu, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku moja kwa juu ya Udhalilishaji, Ukatili wa kijinsia na Ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu, huko katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WASHIRIKI kutoka Taasisi mbali mbali zinazojihusisha na watu wenye ulemavu, masheha na madiwani, wakifuatilia kwa umakini ufunguzi wa mafunzo juu ya Udhalilishaji, Ukatili wa kijinsia na Ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu, huko katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 AFISA Mdhamini Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba, Ali Salim Ali Mata, akizungumza katika mafunzo juu ya Udhalilishaji, Ukatili wa kijinsia na Ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu, huko katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akifungua kikao cha siku moja juu ya Udhalilishaji, Ukatili wa kijinsia na Ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu, huko katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.