Habari za Punde

Mahafali ya utoaji wa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri Skuli ya Msingi Limbani

 Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Msingi Limbani Ali Makame akizungumza katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao ya taifa ya darasa la sita

 Katibu Tawala Wilaya ya Wete Mkufu Faki Ali akizungumza na wanafunzi wa Skuli ya Msingi Limbani wakati wa mahafali ya utoaji wa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani yao ya darasa la sita

 Katibu tawala Wilaya ya Wete akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa Skuli ya Limbani zawadi yake .
 Katibu tawala Wilaya ya Wete akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa Skuli ya Limbani zawadi yake .
 Katibu tawala Wilaya ya Wete akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa Skuli ya Limbani zawadi yake .

Wanafunzi wa Skuli ya Msingi limbani wakimsikiliza Katibu Twala Wila ya Wete Mkufu Faki Ali wakati wa mahafali ya utoaji wa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya taifa ya darasa la sita

PICHA ZOTE NA SAID ABDULRAHMAN  PEMBA. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.