Habari za Punde

Uzinduzi wa Michuano ya Mei Mosi Kisiwani Pemba.

WACHEZAJI wa Timu ya ZECO wakisalimiana na wachezaji wa ZAWA wakati wa mchezo wa Mei Mosi yaliyoanza kutimua vumb I lake katika uwanja wa michezo Gombani, ZECO kuibuka na ushindi wa bao 4-1.
MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akisalimiana na wachezaji wa timu ya ZAWA, kabla ya kufungua rasmi mashindano ya Mei Mosi yaliyofanyika uwanja wa Gombani, ZECO kuibuka na ushindi wa bao 4-1 dhidi ya ZAWA
 MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akisalimiana na wachezaji wa Timu ya ZECO, kabla ya kufungua rasmi mashindano ya Mei Mosi yaliyofanyika uwanja wa Gombani, ZECO kuibuka na ushindi wa bao 4-1 dhidi ya ZAWA
MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa timu ya ZECO baada ya kufungua rasmi mashindando ya Mei Mosi yaliyofanyika uwanja wa Gombani, ZECO kuibuka na ushindi wa bao 4-1 dhidi ya ZAWA.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MKUFUNZI wa waamuzi Kisiwani Pemba na mwamuzi wa FIFA mstaafu Ali Juma Salim katikati, akiwa katika picha ya Pamoja na waamuzi chipkizi wanaochezaji ligi za madaraja mbali mbali Kisiwani hapa, kabla ya kuanza kwa mashindano ya Mei mosi ambapo ZECO iliibuka na ushindi wa bao 4-1 dhidi ya ZAWA.
(Picha na Abdi Suleiman -Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.