Habari za Punde

Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale aendelea na ziara yake kisiwani Pemba kukagua taasisi zilizo chini ya Wizara yake

 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo, akipata maelezo jinsi gani nyaraka za Serikali zinavyotunzwa kutoka kwa mkuu wa Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Pemba Kombo Khamis Bakari, wakati wa ziara yake ya kisiwani Pemba hivi karibuni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo akiangalia mitambo ya kisasa iliyomo ndani ya Studio ya kisasa ya ZBC TV Pemba, kutoka kwa mkuu wa kitengo cha IT Khamis Ali, wakati Waziri alipofanya ziara yake Kisiwani Pemba, hivi karibuni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo akimsikiliza kwa makini mkuu wa kitengo cha IT katika kituo cha ZBC TV Pemba, Khamis Ali wakati waziti alipotembelea studio hiyo katika zaira yake Kisiwani Pemba hivi karibuni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WAZIRI wa habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo akiangalia moja ya mskiti wa ijumaa tokea karne ya 16 katika makumbusho ya Chwaka Tumbe Wilaya ya Micheweni, wakati wa ziara yake Kisiwani Pemba hivi Karibuni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo, akiangalia moja ya nakshi zilizonakshiwa vizuri katika moja wa msikiti ya kihistoria inayopatikana katika eneo la Chwaka Tumbe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo akipata malezo juu ya makaburi ya watoto wa Mazrui tokea karene ya 17 hadi 18 mwaka 1806AD sawa na 1221AH, kutoka kwa mkuu wa makumbusho ya kale Pemba Salum Seif, aktika zaiara yake ya hivi karibuni Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.