Habari za Punde

Ziara ya Waziri wa Ujenzi Mawasiliani na Usafirishaji Mhe. Sira Afanya Ziara Kutembelea Idara za Wizara Hiyo leo.

WaziriwaUjenzi,MawaslianonaUsafirishaji Dk.SiraUbwaMwamboyaakishukaBotibaadayakumalizaziarayakeyakukaguaMnarawakuongozeaMeli. katikaziarahiyoWazirialijiridhishanakuruhusuujenziwaTangi la Majikuendelea
Waziri wa Ujenzi,Mawasliano na Usafirishaji Mhe.Sira Ubwa akitoa maelezo kwa Wanahabari mara baada ya kukaguwa Mnara wa kuongozea Meli uliodhaniwa kuwa utazibwa kutokana na harakati za ujenzi waTangi la Maji
 Mnara wa kuongozea Meli uliopo Kilimani
 KatibuMkuuWizarayaUjenzi,MawaslianonaUsafirishajiMustafa Abdu Jumbe(Mwenye Kaunda suti) akizungumzanaViongoziwaMamlakayaMaji Zanzibar wanaojengaMnarawaTangi la MajikaribunaMnarawakuongezeaMeli.
MkurugenziMkuuwaShirika  laBandariCapteniAbdallaJumaAbdallaAkizungumzanaWaandishiwaHabaribaadakuangaliaMnarawakuongozeaMeli
MnarawakuongezeaMeliukionekanakwambaliambapoWaziri Dk.SiraaliruhusuujenziwaTangi la MajiunaonofanywakaribunaMnarahuokuendelea
MkurugenziwaMamlakayaMaji Zanzibar ( ZAWA): MussaRamadhani AliwaMamlakayaMaji Zanzibar akizungumzanaViongoziwaWizarayaUjenzi,MawaslianonaUsafirishajibaadayakutembeleaUjenziwaMnarawaTangi la MajikaribunaMnarawakuongezeaMeli. Picha Na Miza Othman. Maelezo - Zanzibar.

Na Miza Kona     Maelezo-Zanzibar                           20/04/2018
Shirika la Bandari Zanzibar limeruhusuMamlakayaMaji Zanzibar ZAWA kuendeleanaujenziwaTangi la majiambaohapoawaliulidhaniwakuzibaMnarawakuongozeaMeli.
UamuzihuoumekujakufuatiaziarailiyofanywanaWaziriwaUjenzi, MawasilianonaUsafirishajiDktSiraUbwaMwamboyakuangaliaMnarahuowakuongozeaMeliuliopoKilimalinimjini Zanzibar.
Amesema ujenziwaTangi la Majiunaofanywakaribunaeneo laMnarahuowakuongozeaMeliimebainikahauwezikuathiriutendajikaziwake.
Hapoawalitulikuwanawasiwasikuwaujenziwatangi la majiunaojengwana ZAWA utazibamnarawetulakinitumekwendakuangaliakupitiabaharinitumeonakuwaujenzihuohauathirimelizinzoingiabandarinihivyowanawezakumaliziaujenziwao”alielezaDktSira.
Amesemakwa vile hudumahiyoyamajinimuhimukwajamiinahaiathirihudumazabandariwakatiwauingiajiwameli, ZAWA wanahakiyakuendeleakuwapatiaWananchihudumahiyo.
NaeKatibuMkuuWizarahiyo Mustafa AboudJumbeamesemaMnarahuounatakiwauwepokatikaeneo la waziilikuziongozaMelizinazoingianakutokakatikabandariyaMalindi.
Kwaupande wake MkurugenziMkuuMamlakayaMaji ZAWAMussaRamadhan Ali amesemaujenzihuoutaendeleabaadayamaridhianonaWizarayaMawasiliano.
Amefafanuakuwaujenziwatangi la majinimradiwamajisafiwaMjiMkongweambaoumefadhiliwanaShirika la Maendeleo la Afrika ADB ambapounatarajiwakumalizikaMweziAprili 2019.

IMETOLEWA NA MAELEZO ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.