Habari za Punde

Athari za Tabia Nchi Zasababisha Mmomonyoko katika Eneo la Jirani na Ardhi ya Hospitali ya Abdallah Mzee Pemba

Ofisa Mdhamini Wizara ya Afya Pemba Mhe.Shadya Shaaban Seif akiangalia ukuta uliojengwa ili kuzuwia mmong’onyoko katika hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba ukiwa katika hatari ya kuanguka kutokana na maji ya mvua za masika kuliharibi eneo la ardhi ya jirani na Hospitali hiyo.lililojengwa ukuta wa kuzuiya athari za mmongonyoko wa ardhi.
 OFISA Mdhamini Wizara ya Afya Pemba Shadya Shaaban Seif akiangalia ukuta uliojengwa ili kuzuwia mmong’onyoko katika hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba uliosababishwa na mvua zinazonyesha.
 OFISA Mdhamini Wizara ya Afya Pemba Shadya Shaaban Seif akiangalia ukuta uliojengwa ili kuzuwia mmong’onyoko katika hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba uliosababishwa na mvua zinazonyesha.
 MGANGA Mkuu wa Hospitali ya Abdalla Mzee Haji Mwita Haji akimuonesha ofisa Mdhamini Wizara ya Afya Pemba eneo lililoathiriwa na mvua na kufanyiwa ujenzi ili kunusuru ukuta wa hospitali hiyo usianguke.
 OFISA Mdhamini Wizara ya Afya Pemba shadya Shaaban Seif akikaguwa maeneo ya Hospitali ya Abdalla Mzee yaliyoathirika na mmong’onyoko wa ardhi kufuatia mvua zinazonyesha.

MGANGA Mkuu wa Hospitali ya Abdalla Mzee Haji Mwita Haji akijadiliana jambo na Ofisa Mdhamini Wizara ya Afya Pemba Shadya Shaaban Seif juu ya kitu gani kifanyike ili kunusuru mmong’onyoko wa ardhi katika eneo la hospitali.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.