Msafara wa Mapikipiki ya Polisi yakiongoza Msafari wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ukiwasili katika viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
Safari ya wanafunzi zaidi ya 100 kundi la pili kwenda kusoma nje ya nchi
yapata baraka na nasaha
-
Na Mwandishi Wetu
KUNDI la pili la wanafunzi 100 wanatarajia kuondoka wiki hii kusoma kwenye
vyuo vikuu mbalimbali nchi za nje mwaka huu wa masomo kupitia ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment