Wanafunzi wa Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar wakionesha Igizo la mchezo wa Vitendo vya Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar, onesho hilo lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar, wakati wa mahafali ya 16 ya Chuo. Igizo hilo limechukua simazi kwa Wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment