Wanafunzi wa Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar wakionesha Igizo la mchezo wa Vitendo vya Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar, onesho hilo lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar, wakati wa mahafali ya 16 ya Chuo. Igizo hilo limechukua simazi kwa Wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
uzinduzi wa Muongozo wa Kitaifa wa Stadi za Maisha Kwa Vijana walio nje ya
Skuli Zanzibar
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Ndugu Fatma
Hamad Rajab amezitaka Taasisi na Wadau mbali mbali wa Maendeleo ya Vijana
kutoa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment