Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifariji na kuipa pole Familia ya Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh. Mmanga Mjengo Mjawiri kufuatia kufariki kwa Mama yao Bibi Mwakombo Mjengo hapo katika Kijiji cha Makombeni Wilaya ya Mkoani Pemba.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifariji na kuipa pole Familia ya Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh. Mmanga Mjengo Mjawiri kufuatia kufariki kwa Mama yao Bibi Mwakombo Mjengo hapo katika Kijiji cha Makombeni Wilaya ya Mkoani Pemba.
Balozi Seif akiifariji Familia ya Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh. Mmanga Mjengo Mjawiri Makombeni Mkoani alipoika kuipa pole kufuatia kifo cha Mama yao Bibi Mwakombo Mjengo.
Kulia ya Balozi Seif ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh. Mmanga Mjengo Mjawiri na kushoto yake ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mh. Omar Khamis Othman.
Picha na – OMPR – ZNZ.
No comments:
Post a Comment