IPO haja kwa Serikali Mapinduzi ya Zanzibar kutenga viwanja maalumu kwa ajili ya Michezo ya Watoto, ambao wameanza kuinukia katika michezo mbali mbali, Pichani mmoja ya watoto wa Kangagani akionyesha umahiri wake wa kupiga gema za Nyuma huku akiruka juu huku wenzake wakimtazama.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment