Muonekano wa Viwanja Vya maMao Zanzibar baada ya kukamilika Ujenzi wake ukiwa na viwanja vya ndani na viwili vya mpira wa miguu vimekamilika ujenzi huo na kwa sasa iliobaki na hatua za umaliziaji wa maeneo na kufanya usafi ili kuweza kufikia tamati ya ujenzi huo uliofanya na Kampuni kutoka China.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment