Muonekano wa Viwanja Vya maMao Zanzibar baada ya kukamilika Ujenzi wake ukiwa na viwanja vya ndani na viwili vya mpira wa miguu vimekamilika ujenzi huo na kwa sasa iliobaki na hatua za umaliziaji wa maeneo na kufanya usafi ili kuweza kufikia tamati ya ujenzi huo uliofanya na Kampuni kutoka China.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment