Muonekano wa Viwanja Vya maMao Zanzibar baada ya kukamilika Ujenzi wake ukiwa na viwanja vya ndani na viwili vya mpira wa miguu vimekamilika ujenzi huo na kwa sasa iliobaki na hatua za umaliziaji wa maeneo na kufanya usafi ili kuweza kufikia tamati ya ujenzi huo uliofanya na Kampuni kutoka China.
ATCL YAINGIA MAKUBALIANO KUPELEKA MARUBANI KUFUNDISHA NA KUSIMAMIA NDEGE
MPYA NCHINI NIGERIA
-
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani
wake kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege
ya I...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment