Nashabiki na Wapenzi wa Mchezo wa Soka Wilayani Ruangwa Mkoani Mtwara wakiwa katika foleni kuingia Uwanja kushuhudia Ufunguzi wa Uwanja huo kushuhudia mchezo wa Kirafiki Kati ya Simba Sc ya Jijini Dar es Salaam na Timu ya Namungo FC,Kwa Ajili ya Mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment