Nashabiki na Wapenzi wa Mchezo wa Soka Wilayani Ruangwa Mkoani Mtwara wakiwa katika foleni kuingia Uwanja kushuhudia Ufunguzi wa Uwanja huo kushuhudia mchezo wa Kirafiki Kati ya Simba Sc ya Jijini Dar es Salaam na Timu ya Namungo FC,Kwa Ajili ya Mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment