Habari za Punde

Wananchi wa Shehiya ya Mtambile Wilaya ya Mkoani Wapata Elimu ya Udhalilishaji Kisiwani Pemba.

MRATIBU kutoka shehia ya Kiwani Mwanaidi Vuale Hatib akielezea baadhi ya chanagamoto zinazowakabili katika kazi zao za kila siku katika mkutano wa kujadili harakati za kupiga vita vitendo vya udhalilishaji wilaya ya mkoani uliofanyika katika banda la ZSTC Mtambile.
MRATIBU wa shehia ya Mtambile Salma Haji Makame akitowa maoni katika mkutano wa kujadili harakati za kupiga vita vitendo vya udhalilishaji wilaya ya Mkoani uliofanyika katika banda la ZSTC mtambile
WARATIBU wa shehia katika  Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba wakiwa katika Mkutano wa kujadili harakati za kupiga vita vitendo vya udhalilishaji wilayani humo uliofanyika katika banda la ZSTC  Mtambile
                                                               Picha na Habiba Zarali -Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.