Habari za Punde

Mradi wa Ujenzi wa Jengo Jipya la Wazazi na Watoto Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Jengo Jipya la Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Ungaja linalojenga katika eneo hilo klama linavyoonekana katika mchoro wake linavoonekana picha ndivyo litakavyokuwa baada ya kukamilika ujenzi wake huo unaojengwa na Kampuni ya World Class Engineering Contractar Ltd.linalojengwa katika eneo la Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja.

 Muonekano wa Eneo la Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja 
Ujenzi wa Jengo jipya la Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja likiwa katika ujenzi wake ukiendelea. 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.