Habari za Punde

Mtawala wa Nchi ya Ras Al Khaimah Sheikh Saud Bin Saqr Ali Qasim, Amaliza Ziara Yake ya Siku Mbili Zanzibar na Kuhudhuria Hafla ya Utiaji wa Saini ya Mkataba wa Makubaliano ya Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar.

Mtawala wa Ras Al Khaimah Shaikh   Saud bin Saqr  Al  Qasimi akiagana na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume leo wakati alipokuwa akiondoka Nchini baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili
Mtawala wa Ras Al Khaimah Shaikh   Saud bin Saqr  Al  Qasimi akikagua kikosi cha Gwaride la heshma katika  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume leo wakati alipokuwa akiondoka Nchini baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili
Mtawala wa Ras Al Khaimah Shaikh   Saud bin Saqr  Al  Qasimi akiagana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi (GAVU)katika  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume leo  alipokuwa akiondoka Nchini baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili,[Picha na Ikulu.] 24/10/2018.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.