Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Khaji Omar Kheri Atembelea Maonesho ya Chakula Duniani Yaliofanyika Kisiwani Pemba.

MKUU wa Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka Pemba, Saidi Juma akimpatia malezo juu ya maenedeleo ya eneo la idara ya misitu, kaimu waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar,ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara maalumu za SMZ Haji Omar Kheri, wakati alipokua akikagua maendeleo ya maonyesho ya siku ya Chakula Duniani huko katika eneo la Chamanangwe Wilaya ya Wete
ENEO la Idara ya mistu na mali zisizorejesheka ambalo limepandwa miti mbali mbali ya asili, ikiwemo migomba kofi, mipilipili doria, michenza mwitu, msaji na miti mengine adimu ambayo imeanza kutoweka, likiwa katika eneo la maonyesha ya siku ya chakula duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
KAIMU Waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasili mifugo na Uvuvi Zanzibar, ambaye ni waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa na idara maalumu za SMZ Zanzibar Haji Omar Kheir akiangalia moja ya miti ya asili mvule ambao umeanza kutoweka
MKUU wa Idara ya misitu na mali zisizorejesheka Pemba Said Juma, akimpatia maelezo juu wa eneo la wanyama, kaimu waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasli Mifugo na Uvuvi Zanzibar ambaye ni Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir, wakati alipotembelea eneo hilo lililomo ndani ya maonyesho ya siku ya chakula duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete

MKUU wa Idara ya misitu na mali zisizorejesheka Pemba Said Juma, akimpatia maelezo, kaimu waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasli Mifugo na Uvuvi Zanzibar ambaye ni Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir, juu ya utumiaji wa majiko sanifu, wakati alipotembelea eneo la maonyesho ya siku ya chakula duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
MKUU wa Idara ya misitu na mali zisizorejesheka Pemba Said Juma, akimpatia maelezo juu nyumba ya asili ya iliyojengwa kwa udongo na makuti, kaimu waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasli Mifugo na Uvuvi Zanzibar ambaye ni Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir, wakati alipotembelea eneo maonyesho ya siku ya chakula duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
MKUU wa Idara ya misitu na mali zisizorejesheka Pemba Said Juma, akimpatia maelezo juu ya ujenzi wa nyumba za mawe kwa kutumia mchana na chokaa, kaimu waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasli Mifugo na Uvuvi Zanzibar ambaye ni Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir, wakati alipotembelea eneo la maonyesho ya siku ya chakula duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete.
KAIMU waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasli Mifugo na Uvuvi Zanzibar, ambaye ni Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir, akizungumza na waandishi wa habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, kuelekea siku ya maonyesho ya chakula duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
KAIMU waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasli Mifugo na Uvuvi Zanzibar, ambaye ni Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir, akizungumza na waandishi wa habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, kuelekea siku ya maonyesho ya chakula duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete

MWANDISHI wa Habari Mwandamizi wa shirika la Utangazaji Zanzibar ZBC TV Pemba, Raya Ahmad akiuliza swali wakati wa kikao cha kaimu waziri wa kilimo Zanzibar na waandishi wa habari kuelekea siku ya chakula duniani.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.