Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale akitoa maelezo ya mradi wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la Msingi la Ujenzi wa Upanuzi wa barabara ya Morogoro Kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye Urefu wa Kilometa 19.2 .Hafla iliyofanyika Kimara Jijini Dar es Salaam.Desemba 19,2018.
REA YAPONGEZWA KWA KASI YA UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VITONGOJINI
-
Wananchi wa vitongoji vya Chilimba na Mnayope Kata ya Mnyambe Wilaya ya
Newala Mkoani Mtwara wamepongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza
umeme v...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment