Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Amaliza Ziara Yake Kisiwani Zanzibar katika Mikoa ya Kaskazini , Kusini na Mjini Magharibi Unguja leo. Kaytika Wilaya ya Kusini Unguja


Baadhi ya Viongozi wa CCM wakiwa katika ukumbi wa Mkutano wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika ukumbi wa Hoteli ya Residence Kimzimkazi Wilaya ya Kusini Unguja.  
Baadhi ya Mawaziri na Viongozi wa CCM wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Hoteli ya Residence Kizimkazi wakiimba wimbo wa 'Sisi Sote Tumegomboka' wakati wa mkutano wa Majumuisho ya Ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika Wilaya ya Kusini Unguja leo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa Siasa na Serikali wakiwa wamesimama wakati wakiimba wimbo wa 'Sisi Sote Tumegombaka' wakati wa hafla ya Mkutano wa Majumuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Kusuini Unguja leo, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Residence Kizimkazi Wilaya ya Kusini Unguja Mkoa wa Kusini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisoma Ripoti ya Utekelezaji ya CCM Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa mkutano wake wa Majumuisho ya ziara yake katikia Wilaya hiyo. 
Katibu wa CCM Wilaya ya Kusini Unguja Ndg. Hafidh Hamad Mkadam, akiwakilisha Ripoti ya Utekeleza ya Kazi za CCM za Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa Mkutano wa Majumuisho ya ziara yake katika Wilaya hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Ndg. Idirisa Kitwana, akiwasilisha Ripoti ya Utekelezaji ya Kazi za Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa Mkutano wa Majumuisho ya Ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa mkutano wake huo baada ya kumaliza ziara yake katika Wilaya hiyo. 
Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Ndg. Idrisa Kitwana akikabidhi Ripoti ya Utekelezaji wa Kazi za Wilaya ya Kusini kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa mkutano wa Majumuisho ya ziara yake uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Residence Kizimkazi Unguja leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar(ZAWA) Ndg. Mussa Ramadhan Haji akitowa maelezo ya uimarishaji wa huduma ya Maji Safi na Salama katika Miradi ya Usambazaji wa Maji katika Wilaya ya Kusini Unguja unavyotekelezwa na ZAWA kwa Wananchi wa Wilaya hiyo, wakati wa majumuisho ya ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Residence Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo, wakati kuhitimisha ziara hiyo katika Wilaya ya Kati Unguja.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kusini Unguja Ndg. Abdulazizi Hamad, akizungumza wakati wa Mkutano wa Majumuisho ya Ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika Wilaya ya Kusini Unguja leo, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Residence Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja. 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdallah Juma Mabodi akizungumza wakati wa Mkutano wa Majumuisho ya Ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Wilaya ya Kusini Unguja uliofanyika katiuka ukumbi wa hoteli ya Risedence Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Viongozi wa Chama na Serikali katika Mkutano wa Majumuisho ya ziara yake Wilaya ya Kusini Unguja leo, kukamilisha ziara yake katika Mikoa ya Mjini Magharibi, Kaskazini na kumalizia leo Kusinu Unguja.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Viongozi wa Chama na Serikali katika Mkutano wa Majumuisho ya ziara yake Wilaya ya Kusini Unguja leo, kukamilisha ziara yake katika Mikoa ya Mjini Magharibi, Kaskazini na kumalizia leo Kusinu Unguja.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.