Wasanii wa Bandi ya Wamwidura kutola Mkoani Mbeya wakitowa burudani katika Jukwaa la Sauti za Busara Zanzibar katika viwanja vya Mambo Club Ngome Kongwe Forodhani Zanzibar, wakati wa Onesho hilo la Sauti za Busara linalofanyika katika viwanja vya Bustani ya Forodhani na Ukumbi wa Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment