Habari za Punde

Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar Laadhimisha Miaka 42 Kwa Kazi za Usafi Hospitali ya Chakechake Pemba.

ASKARI wa Jeshi la Kujenga Uchumi  Zanzibar (JKU) ofisi ya Pemba, wakishirikiana na madaktari wa Hospitali ya Chake Chake katika ufanyaji wa usafi kwenye hospitali hiyo, ikiwa ni shamra shamra za kutimiza miaka 42 tokea kuasisiwa kwa jeshi hilo
MADAKTARI wa Hospitali ya Chake Chake kitengo cha Usingizi, wakizoa taka ambazo zimekusanywa na askari wa JKU Pemba ,wakati wa ufanyaji wa usafi katika Hospitali hiyo, ikiwa ni shamra shamra za kuadhimisha miaka 42 tokea kuasisiwa kwa jeshi hilo.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.