Madaktari Bingwa kutoa Nchini Hispania wakiwa katika zoezi la kutowa huduma wa uperesheni kwa Wananchi wanaosumbuliwa na Maradhi mbalimbali ya uvimbe na Kinamama. Zoezi hilo la huduma hiyo litafanyika kwa Wiki mbili Kisiwani Pemba katika Hospitali ya Chakechake Pemba.
(Picha na Hanifa Salum -Pemba )
No comments:
Post a Comment