Mama Maria Nyerere na akiwa na mgeni wake, mjane wa Waziri Mkuu wa zamani, Mama Napono Sokoine aliyemtembelea nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam, jana. Wengine katika picha (kutoka kushoto) ni msaidizi wa Mama Maria, Wambura; Mbunge wa Viti Maalumu, Namelok Sokoine, Elysia Sokoine; na Ninai Sokoine. Mbuzi anayeonekana ni zawadi ya Mama Sokione aliyopelekea Mama Maria.
TANTRADE YASHIRIKIANA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUTOA MAFUNZO YA UUZAJI
BIDHAA, UINGEREZA.
-
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTARADE) kwa kushirikiana na
Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Viwanda na Biashara Imeratibu Semina ya
Waf...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment