Habari za Punde

Kamati ya Siasa Mkoa wa Magharibi Unguja Watembelea Miradi ya Maendeleo la Mwanakwerekwe.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) Jimbo la Mwanakwerekwe Abrahman Milao akiwakaribisha Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Magharib wakati walipotembelea Miradi ya Mfuko wa Maendeleo wa Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe.
Mwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe Abdalla Ali Kombo akitoa maelezo kwa Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Magharib wakati walipotembelea Miradi ya Mfuko wa Jimbo  hilo.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Magharib Bw. Mgeni Mussa Haji akimuuliza swali Mwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe Abdalla Ali  Kombo kuhusu utekelezaji wa miradi ya mfuko wa Mbunge na Mwakilishi katika jimbo.
 Picha Na Miza  Othman - Maelezo Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.