Kamanda wa Viwanja vya
Ndege wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Nchini (ACF) Maria Kulaya, akisalimiana
na Katibu Tawala Wilaya ya Temeke Bi. Bupe Mwakibete (kulia), alipowasili katika
viwanja vya Mwembe Yanga, kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Ninancho, Najua
kukitumia, iliyofanyika katika viwanja hivyo Temeke Dar es salaam mapema leo
asubuhi tarehe 30/04/2019
Katibu
Tawala Wilaya ya Temeke Bi. Bupe Mwakibete akitoa hotuba kwa wananchi na wakazi
wa Wilaya ya Temeke, kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Ninancho, Najua kukitumia
iliyofanyika katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke Dar es salaam, mapema leo
asubuhi
Kamanda
wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kizimamoto Temeke (ASF) Puyo
Nzalayaimisi, akihutubia wananchi na wakazi wa Wilaya ya Temeke, kwenye
uzinduzi wa Kampeni ya Ninancho, Najua kukitumia iliyofanyika katika viwanja
vya Mwembe Yanga Temeke Dar es salaam mapema leo asubuhi
Kamanda
wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya akitoa salamu kwa niamba ya
Makamanda wa Mikoa na Kumkaribisha Mgenia Rasmi Katibu Tawala wa Wilaya ya
Temeke, kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Ninancho, Najua kukitumia iliyofanyika katika
viwanja vya Mwembe Yanga Temeke Dar es salaam mapema leo asubuhi
Katibu Tawala wa Wilaya
ya Temeke Bi. Bupe Mwakibete (kulia) akimsikiliza Sajini wa Jeshi la Zimamoto
na Uokoaji Lugendo Rashidi (kushoto), alipotembelea Banda la kutolea elimu, kwenye
uzinduzi wa Kampeni ya Ninancho, Najua kukitumia iliyofanyika katika viwanja
vya Mwembe Yanga Temeke Dar es salaam, mapema leo asubuhi tarehe 30/04/2019 (Picha
na Jeshi la Zimamoto Na Uokoaji Makao Makuu)
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO NA ELIMU KWA UMMA - JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI
MAKAO MAKUU
No comments:
Post a Comment