Habari za Punde

Kongamano la Kwanza la Kumuenzi Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Abeid Amani Karume Lafanyika Kisiwani Pemba leo.

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othaman, akifungua Kongamano la Kumuenzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi wa awamu ya kwanza, Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume, kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba
AFISA Mdhamini Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ndg.Ali Salim Matta, akitoa maelezo mafupi juu ya lengo la Kongamano la Kumuenzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi wa awamu ya kwanza, Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba.
NAIBU katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Ndg. Abdalla Hassan Mitawi akitoa muhtaasari wa kongamano la Kumuenzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi wa awamu ya kwanza, Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba
MKUFUNZI na mwalimu wa chuo cha uwandishi wa habari Zanzibar, Ali Shaaban Juma akiwasilisha mada ya wasifu wa Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume, katika Kongamano la Kumuenzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi wa awamu ya kwanza, Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba
Dkt Mohamed Seif Khatib akiwasilisha mada ya Mtazamo wa Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume baada ya Ukombozi wa Zanzibar, wakati wa Kongamano la Kumuenzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi wa awamu ya kwanza, Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba
WAKUU wa Vikosi vya ulinzi na usalama kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa Kongamano la Kumuenzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi wa awamu ya kwanza, Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba

VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa Kongamano la Kumuenzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi wa awamu ya kwanza, Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume kongamano lililofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.