Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishuka ndani ya ndege mara baada ya
kuwasili katika uwanja wa ndege wa ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe
nchini Malawi. April 24, 2019.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na mwenyeji wake Rais wa Malawi Prof. Arthur Peter Mutharika mara baada ya kuwasili
katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe nchini Malawi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
mwenyeji wake Rais wa Malawi Prof.
Arthur Peter Mutharika mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe nchini Malawi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
mwenyeji wake Rais wa Malawi Prof. Arthur
Peter Mutharika wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania ukipigwa na Mizinga 21 ya
Rais mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kamuzu
uliopo Lilongwe nchini Malawi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua
gwaride lililoandaliwa na Jeshi la Malawi kwa heshima yake katika uwanja wa
ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe nchini Malawi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Malawi waliofika kumlaki katika uwanja wa
ndege wa Kimataifa wa Kamuzu uliopo Lilongwe nchini Malawi.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment