Habari za Punde

Mradi wa Zoezi la Ufungaji wa Taa za Kuongozea Magari Ukiendelea Katika Barabara ya Chakechake Pemba.

MAFUNDI wa Kampuni ya ujenzi ya TESEMA  Dar es Salaam, kutoka Tanzania Bara ikiendelea na zoezi la ufungaji wa Taa za kuongozea magari katika barabara ya chakechake Kisiwani Pemba kama wanavyoonekana wakiendelea na kazi hiyo.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.