Habari za Punde

Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mipango Pembe Wahamia Katika Jengo Lao Jipya Gombani Chakechake.

AFISA Mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba Ndg.Ibrahim Saleh Juma, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuhamia katika jengo jipya la taasisi tatu za Serikali, lililofunguliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.