Habari za Punde

Timu ya Malindi Kushiriki Kombe la Shirikisho

Katibu Mkuu Wizara ya Vijana Michezo Utamanuni na Sanaa Ndg. Omar Hassan King akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya FA Nahodha wa Timu ya Malindi baada ya kushinda mchezo wao wa Fainali na Timu ya JKU uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Zanzibar Mhe. Mohammed Ahmada akikabidhiwa Kombe la Ubingwa wa Michuano ya FA kutoka kwa Nahodha wa Timu ya Malindi, baada ya kukabidhi. 



   

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.