Katibu Mkuu Wizara ya Vijana Michezo Utamanuni na Sanaa Ndg. Omar Hassan King akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya FA Nahodha wa Timu ya Malindi baada ya kushinda mchezo wao wa Fainali na Timu ya JKU uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment