Katibu Mkuu Wizara ya Vijana Michezo Utamanuni na Sanaa Ndg. Omar Hassan King akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya FA Nahodha wa Timu ya Malindi baada ya kushinda mchezo wao wa Fainali na Timu ya JKU uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment