Wanchi wakiwa katika harakati za kujinunulia futari katika Marikiti Kuu ya Darajani Zanzibar, kama walivyokutwa na kamera yatu wakiwa katika marikiti hiyo,chana moja ya ndizi ya mtwike imeuzwa kati ya shilingi 2000/ na 4000/ kutegemeana na ukubwa wake.
Mfanyabiashara katika marikiti kuu ya Darajani akiwasubiri wateja wa bidhaa hizo, fungu moja la Majimbi linauzwa shilingi 5000/ na fungu la viazi 2000/- na 5000/ kama alivyokutwa na kamera yetu akiwa katika eneo hilo akisubiri wateja wa bidhaa hizo.
MKUTANO MKUU WA ALAT 2024; WAZIRI MCHENGERWA ATEMBELEA BANDA LA PSSSF
-
ZANZIBAR
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma umeshiriki kwenye Mkutano
Mkuu wa 38 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT) uliofanyika ji...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment