Habari za Punde

Balozi Seif amjuulia hali Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Bibi Lela Ngozi

 Bwana Ramadhan Ali Foum {Rama Kimara} akimkaribisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Hospitali ya Kijitonyama kumkagua Mkewe Bibi Lela Ngozi Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa aliyelazwa kupatiwa huduma za Afya.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimjulia  hali Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM  Bibi Lela Ngozi aliyelazwa Hospitali ya Kijitonyama Dar es salaam akipatiwa huduma za Afya.
 Daktari dhamana wa Hospitali ya Kijitonyama Dr.Nyamsogoro akimuelezea Balozi Seif  maendeleo ya Afya ya Mgonjwa wao Bibi Lela Ngozi wanayempatia huduma za Matibabu Hospitalini hapo.
Bibi Lela Ngozi akielezea faraja anayoipata  kutokana na huduma za matibabu yake wakati akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.
Picha na – OMPR – ZNZ

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.