Habari za Punde

Innaalill Waina Illahy Rajiuun Abdalla Waziri.

Ina lilahi wa ina illahi rajiuun Nd. Abdallah Waziri amefariki sasa hivi emergency Mnazi. Allah amsamehe madhambi yake, amuondoshee adhabu ya kabri na amuweke mahali pema peponi. Ameen

Maziko yanatarajiwa kufanyika kesho katika Masjid Noor Muhammud Kwa Mchina Zanzibar saa. nne na kuzikwa Kijiji kwao Muyuni Wilaya ya Kati Unguja  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.